Watu na bebezNitakwambia baby
Y babe?
Hahahahaa utani wakuuMukono ya sweta![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante wasalimieni wadogo zanguTunakupenda pia shem
Brother naona leo unalala mwenyewe..Usiku mwema Makapuku
Mia asee, lala salamaHahaha kama kawaida.
Usiku mwema kaka
Mkuu tunaongeza likes baba wew uko sawaAisee.
Kweli binadamu wabaya.
Mchungaji siamini kama ni wewe.

Ulale salama brother.Usiku mwema wapendwa.
Ubunifu tuMchungaji leo amekuja kivingine.
Ni kweli nashukuru na naomba msamaha kwa yale niliyoyasema una haki kusema ulosema. Natubu kwa yale niliyosema.Nani kakwambia jambilo ni mtoto!
Nana kasema haya ndo maisha halis?
Hapa tunafurahi tu mkuu
Ndio maana tunaitana WAKUU
tuna ashumu kuwa wote tuko sawa
Sikuombi radhi nilichosema ndo mahali pake
Kama wataka heshima tumia ID NA PICHA HALISI vinginevyo wote ni wakuuu
Tena niliko baridi kalii hata maji siweziKuna kitu kanywa sio bure
*Nina hasira*Mia asee, lala salama
"Huu mchezo hautaki hasira"
Pamoja brother.Mkuu tunaongeza likes baba wew uko sawa![]()
Labda sala ya toba utapata, sorry hadi ulete chet cha kuzaliwaWe acha tu karibu nimeze mfupa wa samaki kwa hasira. Silali mpaka nipate Sorryyyyyyyyyyy
Ila chai inanyweka?Tena niliko baridi kalii hata maji siwezi