Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nani kakwambia jambilo ni mtoto!
Nana kasema haya ndo maisha halis?
Hapa tunafurahi tu mkuu
Ndio maana tunaitana WAKUU
tuna ashumu kuwa wote tuko sawa
Sikuombi radhi nilichosema ndo mahali pake
Kama wataka heshima tumia ID NA PICHA HALISI vinginevyo wote ni wakuuu
Ni kweli nashukuru na naomba msamaha kwa yale niliyoyasema una haki kusema ulosema. Natubu kwa yale niliyosema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom