Makapuku Forum

Makapuku Forum

We mtoto umenikosea adabu!!!!!!! Nikuambie nashukuru kwa kila jambo. Naridhika, sitamani wala sioni husda kwa lolote. Nimeridhika na ndo maana napata time ya kukaa na wanangu na wajukuu na kaka na dada zangu kubadilisha mawazo. Fuatilia chart zangu sina mihemko mimi ni bibi niliyeridhika. Samahani sikupenda kusema haya yote ila nataka unielewe. I am a bit of a commedian I am also a writer so i like writing what I think is funny and which can make others laugh but I am not looking of company. I have already long time ago about 30 na more years ago. Jambilo niombe samahani sasa hivi.
Aisee jambilo njoo huku bibi povu linamtoka.
Ukichelewa sekunde tu anaweza kuripuka kwa hasira.
Mimi natoka ndukii
 
Nilikula videonge vya kutoingia sasa naona kuna stori za kutatiza sizikumbuki maana nina dementia unajua uzee na vyakula tunavyokula lakini nimesoma. Hamjambo? Kesho ni siku ya wavivukazi lakini wote mtakuwa vitandani. Je mtamkumbukaje mzee wa ukapa aliyetaka kuwapa siku ya kulipiza mkasema hapana sisi hatutaki. Watu bwana\/
Mama yangu, mimi huwa sielewi unachokuwa unakiandika.
 
Mama yangu, mimi huwa sielewi unachokuwa unakiandika.
Kweli? Unapoandika kwenye hizi places inabidi uwe ambiguous ili msomaji atumie kichwa. Unakumbuka nilisema nimekuwa addicted na JF, hivyo nikasema natafuta dawa. Juzi nilitoa comment kuhusu watu waliokufa kigamboni, mtu alinitukana niakaona let me be out for a while ndo maana nikawa nimekosekana so that was my medicine. Literature inakufundisha kutumia picha au vitu kuficha kile unachotaka kusema. Ndo maana watu wa fasihi wengi hawaeleweki sababu ya tasishishi you hide behind the curtain.
 
We mtoto umenikosea adabu!!!!!!! Nikuambie nashukuru kwa kila jambo. Naridhika, sitamani wala sioni husda kwa lolote. Nimeridhika na ndo maana napata time ya kukaa na wanangu na wajukuu na kaka na dada zangu kubadilisha mawazo. Fuatilia chart zangu sina mihemko mimi ni bibi niliyeridhika. Samahani sikupenda kusema haya yote ila nataka unielewe. I am a bit of a commedian I am also a writer so i like writing what I think is funny and which can make others laugh but I am not looking of company. I have already long time ago about 30 na more years ago. Jambilo niombe samahani sasa hivi.
Nani kakwambia jambilo ni mtoto!
Nana kasema haya ndo maisha halis?
Hapa tunafurahi tu mkuu
Ndio maana tunaitana WAKUU
tuna ashumu kuwa wote tuko sawa
Sikuombi radhi nilichosema ndo mahali pake
Kama wataka heshima tumia ID NA PICHA HALISI vinginevyo wote ni wakuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom