Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu kabla ya kulaa naomba nitoe angalizo moja....

Nimekuwa mtu wa jokes sana hapa Ukapukuni kuna watu kama jambilo na wengine nimewakosea sababu ya utani wangu.
Please naomba tusameheane sisi sote ni wa baba mmoja hakuna haja ya kgombana.

Nawapenda wote.
Tutaonana mungu akipenda.

Good night.
Oooh Mungu akubariki, mimi hujaniudhi bali mimi nimekuudhi nisamehe broo. Nakupenda kaka
 
Wakuu kabla ya kulaa naomba nitoe angalizo moja....

Nimekuwa mtu wa jokes sana hapa Ukapukuni kuna watu kama jambilo na wengine nimewakosea sababu ya utani wangu.
Please naomba tusameheane sisi sote ni wa baba mmoja hakuna haja ya kgombana.

Nawapenda wote.
Tutaonana mungu akipenda.

Good night.
Apology accepted mkuu...
Lala kwa amani youngblood
 
Natamani ningezaliwa enzi hizi ili niwe nacho inabidi niende kanisani na nijieleze kwa lawyer. Subiri nikipata pesa za kumlipa lawyer nitapost. Nisamehe bure ndugu yangu na usihangaike na watu kama mimi makapuku uchwara tusio na mbele wala nyuma. Never argue with a fool.
Niah uko wapi dada!
Nisamehe kama nimekugusa moyoni mkuu
 
bbe5518c008c7c8da4f70aef5f0a95b2.jpg

Barcelona
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom