Makapuku Forum

Leo katika historia

1999 - John F. Kennedy Jr, Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani John F Kennedy Sr anafariki kwa ajali ya ndege yeye pamoja na Mkewe na dada yake.

Anakamilisha vifo tata vya familia ya Kennedy, ambapo wanafamilia wengi walikufa vifo vya kusikitisha kama vile kuuwawa.
 
Sina la ziada toka maktaba yangu,
tukutane kesho hapahapa kwa Udhamini mnono tena wa nguvu toka kwa Saida Kalori
Niite Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Muwe na jumapili njema wapendwa
 
Zamani mtu anatembea kilometer 5 kwenda shule na anafauru vizuri tu, sasa hivi wanabebwa kwenye mabus, ukiwauliza kusini ni wapi utakavyojibiwa utachoka
 
Aisee RIP
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…