Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Kweli mkuuKwema kiongoziii ...wkend ndo hiyo tayar
Kweli mkuuKwema kiongoziii ...wkend ndo hiyo tayar
Angalia shingo ilivopachikwa ....sio kweliii hii
Yaaani weweNa wewe pia hunie
Asante kwa yoteTukutane baadae ...Mungu awaongoze kwa kila jambo
Namuona na J wako yupo kamili gadooKweli mkuu
HBDLeo katika Historia
1979 - Alexander Frei anazaliwa.
Ni mwanasoka toka nchini Uswizi.
Asantee na wewe shemuAsante kwa yote
Inshort hakuna upuuzi kama facebunga na instaLeo katika Historia
2006 - Mtandao wa Twitter wazaliwa rasmi.
Ni moja kati ya mitandao maarufu na yenye watu wengi sana Duniani.
Leo katika Historia
2003 - kampuni ya Mozilla Foundation inaanzishwa.
Ndio wamiliki wa Mozilla firefox.

Asante kwa utafitiWakuu mmeakaje
UTAFITI HEWA
Kila siku huwa ni mpya jitahidi kuwa mpya kila siku
Asantee sanaSina la ziada toka toka katika meza ya historia ikiwa leo ni tarehe 15th July 2017 tukutane tena hapo kesho hapahapa KF kwa udhamini mnono kabisa wa Usher Rymond kule Serengeti National Park.
Niite Jimena Jimenes
Hasta La Vista.