Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Na wewe pia ClkeyJamani mlale salama
Yupo Jimena anafanya badala yake kwa mudaAhaa nimemkumbuka alikua anatupia vineno vichache mahala pengi
Hapo umefanya la mboleaMsalimie
Nimeisikia kwenye maandishi aunt yangu mwenyewe, yaani hasa kwenye korasi unabana na jicho kabisa (well, sio kubana jicho, bali kufumba kabisa ili utamu uusikize)

Mjibu tu binamu yakoBinamu jamaan
AiseeMwanamke
Wewe sio wakunishangaa misifa uliopewa imenifnya nikawa kimya kuishuhudiaHeeee
Nimeokoka TShunie ameokoka?
Ahahhaha Manga banaKuna mzito hapa acha niwe mshuhudiaji tu
Ya kawaida mbona Manga jamaniWewe sio wakunishangaa misifa uliopewa imenifnya nikawa kimya kuishuhudia
Barikiwa dada anguAsante mdogo wangu wa dar
Jemena avator kabadilisha au ileileYupo Jimena anafanya badala yake kwa muda
Wamekuwelewa THuu ujumbe ni kwa wale wanasoma comments za Kapuku forum kimya kimya.
Karibuni sana kapuku..sie hatuna ubaguzi huku..
Karibuni sana, muache uoga wa kusoma tuu na kupita..
Hata wewe unayesoma kwenye browser , log in ...tia comment ! Sema hata hi..
Hii na kwa Manga ML na wengine woooooooooote mnaosoma posts za Kapuku forum kimya kimya
Cc
faiza Foxy
Mamndenyi
Umeelewa nini hapoooAhahhaha Manga bana
Pamoja Dada Mchuchu..Wamekuwelewa T
Amen, Asante mtoto wa Mama mchungaji kwa nenoZABURI 91
1.Aketiye mahali pa siri pake,Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.
2.NitasemaBWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu,Mungu wangu nitakayemtumaini
3.Maana yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji na katika tauni iharibuyo.
4.Kwa manyoya yake atakufunika,Chini ya mbawa zake utapata kimbilio,Uaminifu wake ni ngao na kigao,
5.Hutaogopa hofu ya usiku,wala mshale urukao mchana,
6.Wala tauni ipitayo gizani,wala uele uharibuo adhuhuri.
Muwe na usiku mwema![]()
AhahhahahWoooooowwww
S......... i
Aisee inasikitisha sana jamaan mama ake analia kwa uchunguNi teja aseee wanaficha tu haoo