Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huu ujumbe ni kwa wale wanasoma comments za Kapuku forum kimya kimya.

Karibuni sana kapuku..sie hatuna ubaguzi huku..

Karibuni sana, muache uoga wa kusoma tuu na kupita..

Hata wewe unayesoma kwenye browser , log in ...tia comment ! Sema hata hi..

Hii na kwa Manga ML na wengine woooooooooote mnaosoma posts za Kapuku forum kimya kimya


Cc

faiza Foxy
Mamndenyi
Wamekuwelewa T
 
ZABURI 91

1.Aketiye mahali pa siri pake,Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.

2.NitasemaBWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu,Mungu wangu nitakayemtumaini

3.Maana yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji na katika tauni iharibuyo.

4.Kwa manyoya yake atakufunika,Chini ya mbawa zake utapata kimbilio,Uaminifu wake ni ngao na kigao,

5.Hutaogopa hofu ya usiku,wala mshale urukao mchana,

6.Wala tauni ipitayo gizani,wala uele uharibuo adhuhuri.

Muwe na usiku mwema
Amen, Asante mtoto wa Mama mchungaji kwa neno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom