Makapuku Forum

Ninarudi tena yaani ninakuja kushinda anavyorudi sister P, ujio wangu ni kuwaunga mkono na mguu bila kupewa upaja na wote wanaenda kwenye maombi ya Ijumaa, haijarishi wanafanyia maombi wapi, iwe bar au kanisani au msikitini ilmradi wanatimiza ibaada zao wote tuwaunge mkono.

Ombi la Shunie aunt yangu huyu na Sakayo (huyu kama sio mhenga basi mimi nitajitoa kwenye uhenga- yaani anaijua hata ile nyimbo ya Paka kulia usiku)😀

Christina Shusho wa kwanza, huyu uzao wangu ningekuwa mwanakwaya kwenye kwaya yake


Na huyu ni mwinjilist Munishi, naamini nimesikiliza album zake karibu zote.

 
Ewaaaa...
 
Naona ni Bampa to Bamperaa!
 
Kila kitu kwako napenda
Napenda nikiona ukiniinua, napenda kuona ukinibariki, napenda kuona ukiniponya
haleluyaa

Binamu yangu asante sana ubarikiwe sana

Nimependa hapo kwa sakayo tu
kama sio muhenga utaandamana
 
Shukranimdau
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…