Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ameshasepa na kijijiSubiria ajibu...
Ameshasepa na kijijiSubiria ajibu...
Mmmmh![]()
![]()
![]()
Mwanya
Yupo bhanaAmeshasepa na kijiji
Sitakiii mi nahama hapa nyumbaniPunguza utundu... Hata veta kuna boarding. Mifugo kwanza..tupate ada
Hebu niambie taratibu basiiisakayo ujue nimeelewa aisee
Hbr ya uzimaAmeen mke mwee ubarikiwe na wewe![]()
Hahahaujue hayo mafumbo muhusika ni mimi
Safi sana mke mwee za wewe hapo jamanHbr ya uzima
Ahhahah nimecheka sana aiseeHahaha
Aiseeee..... Kakangu ni sheeda
Unahama uende wapi??? Hapa ndo kwenu dogo. Teh teh..Sitakiii mi nahama hapa nyumbani
Pole kaka jua la wenzetu huko ni tofauti na la kwetuNjema dadangu leo jua linapiga mpaka naikumbuka mbeya yangu
Au nmekoseamke mwee
Ko Imekuwaje jamani... Hata kumpa toothpicks za dar anirushie pale Muheza JamaniiiiAhhahah nimecheka sana aisee
Ahahhaha mke mwee hujakosea kabisa ni mtawa mieAu nmekosea
Ahahhaha anataka tu kunipa lawama bure ujue ilikuwa ghafla tu tena usiku alikuwa na geniKo Imekuwaje jamani... Hata kumpa toothpicks za dar anirushie pale Muheza Jamaniiii
Malebo kitambo kweliVipi Tumoo
Kweli mke mweee leo tupo kesho hatuijuijichekee mke mwee life's too short