Nashukuru umefafanua
Ingependeza zaidi ungepotezea
Msukuma anayefahamika humu KF ni EMMYGUY na wapo wengine wengi tu na tunawataniaga vya kutosha ila jamaa siku hizi siyo muingiaji sana humu KF
Sasa bwana yule hajatajwa jina halafu anajishtukia utafikiri kajamba
Mi niliamua kukaa tu kimya na kutomjibu maana siku hizi yupo ki--ve for everything kuhusu huu uzi au mimi pengine na nyinyi
Km katuchoka asepe zake moja kwa moja na sisi tuendelee na maisha yetu badala ya kuja Kutuzinguazingua
Shida ipo wapi ?
.......