Asante cuzoo kwa historiaSina la ziada toka katika maktaba yangu.
Tukutane kesho hapahapa kwa udhamini mnono kabisa wa nguo oversize niite Jimena Jimenes
T G I F
Inasikitisha sanaHahaha
Nimejikuta nacheka tuu mie
Kipenzi cha man uLeo katika Historia
1971 - Howard Webb. Mwamuzi wa zamani toka nchini Uingereza anazaliwa.
AsanteSina la ziada toka katika maktaba yangu.
Tukutane kesho hapahapa kwa udhamini mnono kabisa wa nguo oversize niite Jimena Jimenes
T G I F
Umenena vyema ....T B T
I wish R.I.P could stand for Return If Possible
Albert Mangwea wewe ulikuwa hazina ya Bongo Flava kwa ubora wa karama yako ya Freestyle na tungo za utundu na ubunifu wa maneno ,Ngwear Ft Darkmasta- Nipeni Dili moja kati ya ngoma nzuri na tamu kuisikiliza .
Ningekuwa kwenye system either radio au Television yoyote ningekuwa na andaa kila mwezi concert zenye tija za wanamusic wote walio tangulia mbele ya haki kwa kutengeneza Ticket , T-Shirt na Shows za mtu husika na kuziuza na pesa zitakazo patikana kupewa familia ya mtu husika.
Serikali yetu haithamini karama/vipawa vya watazania walio hai na walio tangulia mbele ya haki ambao walifanya kazi kubwa katika kuelimisha jamii na kuiburudisha kwa kupitia tasnia ya burudani sababu viongozi husika hawana utashi wala maarifa ya kufanya hivyoMarijani Rajabu ,Tx Mushi ,Remmy Ongala,Steven Kanumba familia zao hawapati matunda ya karama za wazazi/watoto wao sababu ni moja tu hakuna miundo mbinu rafiki ya kuwapatia matunda ya kazi zao sababu ya udogo wa ufinyu wa maarifa ya viongozi wote na wafanyakazi wote wa wizara husika katika tasnia ya burudani.Muhidini Ngurumo, Rest In Peace mzee wangu kuna siku tutaanza kuajiri watu kwa kuangalia utashi na ubunifu na sio vyeti na surname ili familia mlizoziacha zifaidike na karama pamoja na tungo mlizotuachia na popote mlipo mtakuwa mkicheka kwa furaha na amani
A creative man is motivated by the desire to achieve, not by the desire to beat others.
Hivi mkuu kwanini ulijiita Torvic?tafsiri yake ni kudunga
😀 😀 😀
MorningMorning
Happy birthday to uLeo ni birthday yangu
sent from posta
Haleluyaa
Humu Kpk forum?Morning wapenzi
jamaan
Kuna vitu vinasikitisha sana humu yaan sana wote humu ni watu wazima ukiona mtu hupendezwi na mwenzako kaa kimya muignore tu jamaan utapungukiwa na nini niliingia jana usiku nikaona na nikapita kimya naona leo vinaendelea
Daa ila me nina roho ya peke yangu jamaan hata unipige fumbo hapo nakupotezea tu kama sijaona
Muwe na siku njema
potezea tu, mshikaji wangu.. ujanja ndio uo!Morning wapenzi
jamaan
Kuna vitu vinasikitisha sana humu yaan sana wote humu ni watu wazima ukiona mtu hupendezwi na mwenzako kaa kimya muignore tu jamaan utapungukiwa na nini niliingia jana usiku nikaona na nikapita kimya naona leo vinaendelea
Daa ila me nina roho ya peke yangu jamaan hata unipige fumbo hapo nakupotezea tu kama sijaona
Muwe na siku njema
reminder ya mwisho "you have an empire to build"Asubuh njema na ijumaa njema yenye baraka tele kwenuView attachment 541820 wana makapuku
Parefu sana aiseeNdo walipee mkwanja ...bil 4 ...
KaribuLeo nitaendelea na sehemu ya tatu ya upakiaji uliokithiri wa mizigo
Morning ankaliMorning family
Kupotezea ndio jibu la mjinga mshkaji wangupotezea tu, mshikaji wangu.. ujanja ndio uo!
hahahah! mkuu kuna jina langu kwenye hii torvicHivi mkuu kwanini ulijiita Torvic?