Makapuku Forum

Makapuku Forum

I knew it..!

Lazima lingetokea tuu..

Football is a game of passion..

Jamaa kajilipua
Tuna ushamba fulani hivi wa kutoizunguka dunia sababu ya umaskini hivyo kila anapokuja staa mkubwa(kumbuka yaliyomkuta Kaka) inakuwa ishu
Ila ningekuwa na uwezo wa kwenda Ulaya kulekule kuwaona isingekuwa huu ubwege unaendelea

Najua hata Ulaya haya mambo kutokea
........
 
Tuna ushamba fulani hivi wa kutoizunguka dunia sababu ya umaskini hivyo kila anapokuja staa mkubwa(kumbuka yaliyomkuta Kaka) inakuwa ishu
Ila ningekuwa na uwezo wa kwenda Ulaya kulekule kuwaona isingekuwa huu ubwege unaendelea

Najua hata Ulaya haya mambo kutokea
........
You are taking this wrong mkuu..

Pitch invaders wako kila mahali..the only thing ni ile watu kuwa na passion na mchezji fulani .

Mimi nabisha kuwa sio ushamba wala sio kutokutembea duniani.


Ona hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom