Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Ulaya mara nyingi ukitaka kupiga nao picha, unawasubiri tu wakati wanashuka kwenye bus kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, hapo huwa wako free sanaTuna ushamba fulani hivi wa kutoizunguka dunia sababu ya umaskini hivyo kila anapokuja staa mkubwa(kumbuka yaliyomkuta Kaka) inakuwa ishu
Ila ningekuwa na uwezo wa kwenda Ulaya kulekule kuwaona isingekuwa huu ubwege unaendelea
Najua hata Ulaya haya mambo kutokea
........
Rudisha ile ile, hii inakuzeesha bureKwani veepee
UmeonaaaOoohooo
Haaaaahaaaa MwakapukuDuh Wanyaki tumejaa humu
Mwingine yupo hapo juu
![]()
![]()
![]()
.....
wa mikocheni watakua goldfishKama ni hivo basi wa sinza ni perege
Kuna mwandishi mkenya yupo hapoWakenya wanahusikajee ...gazeti ni la uk
Sasa ndo hivyo fursa ya kwenda huko Ulaya wanamudu wabongo wachache km akina Edo KumwembeUlaya mara nyingi ukitaka kupiga nao picha, unawasubiri tu wakati wanashuka kwenye bus kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, hapo huwa wako free sana
Hata kuandika hiviNitonye make leo nilikuwa bize
Roger that!Mdau nimeeleza mwanzo kwamba "ushamba" unaotusumbua ni ule kutoizungukazunguka dunia na kujichanganya mfano tuna mchezaji mmoja tu Ulaya(najua kuna wabongo kibao tu ni watu wa safari za majuu) ila wabongo tupo nyuma sana
Vinginevyo kwa "passion" upo sahihi
Ni hivyo tu
.......

Naloli uligwa nkajaNkamu gwangu
![]()
![]()
![]()
.....
Ndio kakaUmeonaaa
Baba watoto taratibu na wakwe na mashemeji zakoHaaaaahaaaa Mwakapuku
Mnyaki wa kwanza kukutana Wayne ni mwakyembe
Nawe pia mkuuWakuu..
Mlale salama