Makapuku Forum

Leo katika Historia

1979 - Craig Bellamy mchezaji wa mpira wa zamani wa Liverpool, Man City na Wales anazaliwa.
Alisifika sana kwa ukorofi enzi anacheza mpira.
Jamaa ni mkorofi mwenye kipaji Mnaikumbuka hii?
Ilikuwa ni baada ya kukorofisha na mchezaji mwenzie kabla ya mechi(nadhani John Arne Rise) sasa Bellamy sijui Bellamy akampiga mwenzie
Siku ya mechi nahisi UCL akafunga na kushangilia Kwa style hiyo akiigiza tukio lilitokea
.....
 
Asante mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…