Makapuku Forum

Makapuku Forum

Siku nyingine km unataka kushauriwa kisiriazi basi jitahidi uandike kisiriazi
Ww ndo unayejua km ulidhamiria kuomba ushauri au lah
Anyway haina noma
Karibu tena
......
Wapi kaka nimeleta mzaha?


Au pale nilipoandika NB?

Niliandika NB kwa sababu humu JF viongozi wengi wanapita humu hivyo nikaona nitaje moja ya chanzo cha tatizo ili wajue kabisa ni kwa namna gani wanatuumiza wanafunzi kwa tabia yao ya kutunyima mkopo na kutoa sababu zisizokuwa na mashiko.


Hii itasaidia kwa namna moja au nyingine kulegeza kamba kwa watakao omba mwaka huu.
 
Ndo ivo
JF ya now watu hawaaminiki
Unaweza kumshauri vizuri kumbe anakuchezea akili and vise versa
.........
Hata anichezee akili hanipunguzii lolote... Zaidi nazidi kubarikiwa...
Kama shiida kila mtu anapata shida siyo yeye tu, na Siwezi mlaumu au kumhukumu moja kwa moja, simjui ko siwezi jua hali yake kwa sasa...

Kama ni kweli Mungu amtie nguvu, na kama ni uongoo Mungu pia azidi kumtia nguvu maana ipo siku atabadilika
 
Wapi kaka nimeleta mzaha?


Au pale nilipoandika NB?

Niliandika NB kwa sababu humu JF viongozi wengi wanapita humu hivyo nikaona nitaje moja ya chanzo cha tatizo ili wajue kabisa ni kwa namna gani wanatuumiza wanafunzi kwa tabia yao ya kutunyima mkopo na kutoa sababu zisizokuwa na mashiko.
Haya umeeleweka humu kuna washauri wazuri tu wakiona post zako watakusaidia
Usikatishwe tamaa na sisi wachache tuliokujibu 'kimzaha'
........
 
Hata anichezee akili hanipunguzii lolote... Zaidi nazidi kubarikiwa...
Kama shiida kila mtu anapata shida siyo yeye tu, na Siwezi mlaumu au kumhukumu moja kwa moja, simjui ko siwezi jua hali yake kwa sasa...

Kama ni kweli Mungu amtie nguvu, na kama ni uongoo Mungu pia azidi kumtia nguvu maana ipo siku atabadilika
Sawa dada
Umeongea vyema
Mi siku zote najibu fresh tu
Ila leo nimesita kabisa
Umeeleweka
.....,....
 
5da1fc08642926b7d4dd5c7bf1dfce03.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom