Makapuku Forum

Na hata waige hawataweza kuhamisha ubunifu/ujuzi/akili /maarifa za vichwani mwetu .
Humu kuna wasomi wa kueleweka ila watu hawapendi kujionyesha
........
 


Natamani wapate views 1000k per day ile waridhike..

Sisi hivyo vitu tuachane navyo. We have our life..

Nahisi wale jamaa hawana kazi za kufanya.
Cha ajabu wanakuja kuja huku kujambisha ni dalili kwamba hawana malengo wala kujua wafanyalo

Ni aibu mwanaume anaacha nyumba yake anaingia kwa jirani kujishebedua km demu akikaushiwa anajipitisha na khanga za vijembe akijibiwa kustaarabu pia haridhiki

......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…