Makapuku Forum

Hi Kapuku hotel mpishi hatendi haki kabisa anko, hivi ni lazima kila mchana tupikiwe ugali?

Wengine ni watu wa wali kwenda mbele, asubuhi tunaanza na vitumbua, mchana biriani , jioni walinazi. Kabla hakujakucha tunagonga kiporo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wali kila siku utakuwa hunyi wewee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…