Makapuku Forum

Shikamoo mama yangu kipenzi jamaan
Mungu azidi kukuweka mama mchuchu sana siwezi ongea sana sitamaliza nakupenda sana na uzidi kubarikiwa kila siku iitwayo leo
Karibu Shunie,nakupenda mwanangu ,najivunia kuwa na binti mrembo machoni na rohoni kama wewe Mungu akutunze,akutetee,akupe maisha marefu ya Amani na kumpendeza Mungu maana MUNGU ANAKUPENDA SANA... akupe haja ya Moyo wako.....UBARIKIWE


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Ameen Mama
nashukuru sana sana bila Mungu me si kitu chochote nakupenda sana Mama
 
1/Hannah Kersey
Huyu nama wa miaka 23 alifanikiwa kujifungua triplets yaani watoto watatu akiwa na miji miwili ya uzazi na kuweka rekodi
Yaani tuseme ana vizazi viwili (uterus) na hali hii inajulikana kama Uterine Didelphys na humtokea mwanamke mmoja kati ya 1,000
.
.
.
.
.
.
.
Wadau tukutane baadaye kidogo
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
...........
 
Asante sana Bitoz
 
Asante sana ubarikiwe kwa 10 bora leo

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Huwa natamani kweeeli hao triple jamani.... Mara moja tuuu baaasi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…