Makapuku Forum

Ewaaaaaaaah ....


Hii kitu kwa hali ya kawaida umaweza kuona sio jambo la kawaida kutokea lakini hii ndo biolojiaa mkuu/wakuu ...nakumbuka kwenye pita pita yangu nshagawahi kukutana na mtoto wa hali hii ....ni jambo la kawaidaa sana ila kibongo sio sana

Tumezoea kusikia DNA duplication lakin hii inaitwa Penile duplication wengine Diphillic terata .....


Kutokea kwa halii hii ni hasa pindi kijusi (mtoto akiwa tumboni) hasa katika ya siku 23 -25 maarufu kama gestation na endapo kwenye hivi vitu muhimu nazungumzia urethra , bladder ila muhimu ni kwenye kidney aka figo ikitokeaa tu blander bhasi imekula kwa mtoto ....hapa ndo tunaona uwezo wa kijusi cha kiume na kike ....ila nisiwachoshe


Watu wa aina hii wapo wa aina tatu ..

1.Wapo ambao sehemu zinakuwa separate na kila moja inajitegemeaa....zote active

2.wapo ambao moja inakuwa imejiegesha kwa.nyenzake ....hii kwenye study ndo nilishawahi kukutana nayo...

3.wa mwisho moja inakuwepo ila moja ndo active nyingine kama urembo
 
Mwanzo wakari najiunga JF sikujua kwamba wakorofi wamejaa
Hivyo mizingiano ikawa kibao
Nowadays sihangahiki nao
Mtu anitusi,nikebehi,fanya hiki na kile naignore tu

Nitapungukiwa nini?
......



Hupungukiwi kitu ndio nilivyo sasa hivi jaman hata ukipita unitukane matusi yote na vijembe juu na like nakupa
 
2/Maria De Nazare
Huyu binti amezaliwa miaka 23 iliyopita na bado anadunda tu
Alizaliwa na vichwa viwili vinavyofanya kazi vizuri kabisa yaani kama aina fulani ile ya mnyama mwenye vichwa viwili
Wazazi wakaamua kumpa jina linalofanana na manage Yesu Maria wa Nazareth ila usilitaje bure jina la Bikira Maria hivyo huyu anaitwa tu Maria De Nazare
Huyu ni binti wa Kibrazil kiuhalisia ni mapacha walioungana yaani chini ni mtu mmoja ila juu ndo wawili au tuseme tu mtu mwenye vichwa viwili
.......
 
Dah
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…