Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ndo hivyo thread ukisoma meanzoni utaona imejaa fujo 7bu tulikuwa wengi kama panya....walivyoanza kupungua ndo mambo ya maana yakaanza maana ilikuwa rahisi kuelewana na aliyepost ujinga tukawa tunamwambia waziwazi ndo thread ikapata heshima na watu wazima kuingia

Pia "uongozi" umechangia sasa angalia mwanzisha thread aandike post hata korokoro hapo tayari thread ishakosa heshima na mtu akipost ujinga hawezi kulaumiwa

Kuiga kitu ni jambo moja....ubunifu na maarifa ni jambo jingine
......

Good
 
Wala mkuu..

Mimi ndio nilichelewa kumchukua tuu!

So far namuamini sana! Wakati mwingine nakuwa siko hata Tz na nakuwa comfortable kabisa..

Just because we have a trust to one another..

sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app
It is just jf joke .......where do I get the guts to be suspicious of Sakayo.
 
2509e58c391c23a3ece7e2b437d93e98.jpg
5882261d62e0372035b08843cd8c61fc.jpg
 
Yule kiungo mwenye mapafu..

Alikuja OT kww mbwembwe hadi tukampa jezi No. 7 ambayo hupewa wafalme wa OT..

Namzumzungumzia Memphis Depay . Ameamua kutoa wimbo wake wa Rap na kuonesha hana tuu kipaji cha mpira ila pia anaweza kuimba..

Jamaa ana 508k viewers hadi sasa toka uwekwe youtube week 2 zilizopita..


Wimbo ni huo hapo




sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app

Drpay hakuwa mcheza mpira
Ni mwanamitindo na bishoo gulani aloyesajiliwa na mjomba wake kwa maslahi binafsi na mjomba wake pale Man Utd
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom