Makapuku Forum

Kosa kubwa ni kutaka kujilinganisha na akina fulani
Kuna mambo humu KF unaweza zunguka JF nzima na usiyapate
Kumbuka hata Pepsi ilimuiga coca cola lakini sasa ni mamia ya miaka hawajafanikiwa kulingana nao kwa ladha
Ukichunguza humu wengi ni watu wanaojotambua ndo maana hukuti mambo ya bora uzi ujae
........
 
Well said bro

Nategemea kuanzia J5 nitakuwa humu kwa amani kabisa

Dreams never end by fear
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…