Mashabiki wa Njombe kuweni wazalendo vaeni jezi za timu yenu achaneni Simba na Yanga
Njombe jirani zetu msituangushe
Mimi Mbeya City
.
...
Nilijisikia tuWala usinge-mqoute!
Ili?Sijui hata...! Au tuwanyeshwe members kahawa ?
Naona mmemchukua Antonio RodigerKukomoanaa
Labda twende kwenye gahawa la Nyoka_mzeeUna kahawa kweeeli wewe auuu ileeee
Aiseeee
Hilo pori vipi... Maana Shunie nae alienda pori
Hii sign yako bora uitoe tu mkuuSakayi
Sakayo
Dreams never end by fear
Rudi hapaHahahaaa..
Kosa kubwa ni kutaka kujilinganisha na akina fulaniPoa Poa
Mie niliacha bhanaHahaa
Naacha kwenda pori kma hadi shunie anaenda porini..
Well said broDiktetaana majukumu ya kikazi
MimiTangu J3 sipo vizuri kiafya ndo maana kumi kubwa siandiki pia kuna mambo yamebana
Trancescendkasema wazi kazi zimembana
Leevitu vyake vipo pale pale
ObeMuziki upo km kawa
Shululukila siku magazeti yapo
JimenaKaziba pengo la Dikteta japo siyo sana
Shumiekuna majukumu yamembana
Kina Bailly, Husna Tumosa,Mama Mchungaji,Nyagei n.k mbona wapo mara mojamoja km kawaida yao
Ila pia akina Yuda hawajakosekana .....ndo hapo usemi wa pats shida umjue rafiki yako
Tukubali uzi upo kwenye kipindi kigumu na hii siyo mara ya kwanza kumbuka uzi una zaidi ya mwaka kinachofanya uonekana kwamba kumepoa sana ni uwepo wa uzi mwingine ambao unafanana na huu kila kitu yaani copy & paste .....hivyo km vile watu wanajisikia kulinganisha au kushindanisha kitu ambacho sisi hatujishughulishi nacho
Tuishi sisi km sisi no matter what
.............
HahahaUnataka kuliamsha Dude.
HahahaAmejaaliwa hekima ataelewa tu
Dreams never end by fear
Hatunaga mbwembweeNaona mmemchukua Rodiga
AmeeenOnce a Kapuku..
Forever......
Naye ameamua maana kila lee empire akienda akirudi anakuwa kivuruge basi naye kaamuaHahaa
Naacha kwenda pori kma hadi shunie anaenda porini..
Evaton watakapokuja bongoIli iwejee mkuu