Makapuku Forum

Ndiooo

Mbona uzi umepoa hivyo
Dikteta
ana majukumu ya kikazi
Mimi
Tangu J3 sipo vizuri kiafya ndo maana kumi kubwa siandiki pia kuna mambo yamebana
Trancescend
kasema wazi kazi zimembana
Lee
vitu vyake vipo pale pale
Obe
Muziki upo km kawa
Shululu
kila siku magazeti yapo
Jimena
Kaziba pengo la Dikteta japo siyo sana
Shumie
kuna majukumu yamembana
Kina Bailly, Husna Tumosa,Mama Mchungaji,Nyagei n.k mbona wapo mara mojamoja km kawaida yao

Ila pia akina Yuda hawajakosekana .....ndo hapo usemi wa pats shida umjue rafiki yako

Tukubali uzi upo kwenye kipindi kigumu na hii siyo mara ya kwanza kumbuka uzi una zaidi ya mwaka kinachofanya uonekana kwamba kumepoa sana ni uwepo wa uzi mwingine ambao unafanana na huu kila kitu yaani copy & paste .....

Hivyo km vile watu wanajisikia kulinganisha au kushindanisha kitu ambacho sisi hatujishughulishi nacho
Tuishi sisi km sisi no matter what
.............
 
Poa Poa
 
Once a Kapuku..

Forever......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…