BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Hahahaha
Hahahaha
Ni kweli ,naitumia sana essential oil zake zinaondoa kabisa uchovu na stress
Hahaha nitaanza kula ila ni gharama!
TrueDID YOU KNOW ?![]()
Mbona umejiquote mwenyewe...kwa raha zako HusnaZipo nyingi tu
SanaaaMama mchuchu anacheza mabreka
KUTOKA 14
Asante Baba kwa neno hili.

Asante sana Mdau BitozEnd![]()
....
![]()
![]()
obe anae mtarajiwa wake mi mnanipachika tu
AmenKUTOKA 14
13.Musa akawaambia watu ,MSIOGOPE,SIMAMENI TU..mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo;kwa maana hao wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.
14.BWANA ATAWAPIGANIA,Nanyi mtanyamaza kimya.
15.BWANA akamwaambia ,Musa mbona unanililia mimi?waambie wana wa Israel waendelee mbele.
Asante Baba kwa neno hili.
Wakati nasoma sura hii na mistari hii niliona kuwa Mungu ananiagiza kitu kwenu MAKAPUKU wapendwa wangu niwaambie kuwa shida,mateso,utasa,kukosa kazi,kukataliwa,kuachwa,kukosa ada,kukosa kodi ,ndoa kusumbua na changamoto zote mnazopitia hamtaziona tena,zitanyamaza kimya...hii ni ahadi ya MUNGU KWETU TUING'ANG'ANIE NA TUJISEMESHE MARA KWA MARA KILA KITU KIBAYA KINYAMAZE KIMYA,NA anatuasa tuendelee mbele,Tunaye Kristo Yesu ndiyo fimbo yetu.
SHALOM...MBARIKIWE![]()
![]()
Amen, Asante nawe ubarikiwe sanaKUTOKA 14
13.Musa akawaambia watu ,MSIOGOPE,SIMAMENI TU..mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo;kwa maana hao wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.
14.BWANA ATAWAPIGANIA,Nanyi mtanyamaza kimya.
15.BWANA akamwaambia ,Musa mbona unanililia mimi?waambie wana wa Israel waendelee mbele.
Asante Baba kwa neno hili.
Wakati nasoma sura hii na mistari hii niliona kuwa Mungu ananiagiza kitu kwenu MAKAPUKU wapendwa wangu niwaambie kuwa shida,mateso,utasa,kukosa kazi,kukataliwa,kuachwa,kukosa ada,kukosa kodi ,ndoa kusumbua na changamoto zote mnazopitia hamtaziona tena,zitanyamaza kimya...hii ni ahadi ya MUNGU KWETU TUING'ANG'ANIE NA TUJISEMESHE MARA KWA MARA KILA KITU KIBAYA KINYAMAZE KIMYA,NA anatuasa tuendelee mbele,Tunaye Kristo Yesu ndiyo fimbo yetu.
SHALOM...MBARIKIWE![]()
![]()
Tuko salama mpendwaMmeshindaje wapendwa
Nmekumic mume wngu jamaniNiambie mama watoto wangu
Tafadhali buanaAkaaa siyawezi mie hayoo