Makapuku Forum

Makapuku Forum

5fbd6345fe83eb1d0156c4db77428ac6.jpg
Hahahaha
 
KUTOKA 14

13.Musa akawaambia watu ,MSIOGOPE,SIMAMENI TU..mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo;kwa maana hao wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.

14.BWANA ATAWAPIGANIA,Nanyi mtanyamaza kimya.

15.BWANA akamwaambia ,Musa mbona unanililia mimi?waambie wana wa Israel waendelee mbele.

Asante Baba kwa neno hili.

Wakati nasoma sura hii na mistari hii niliona kuwa Mungu ananiagiza kitu kwenu MAKAPUKU wapendwa wangu niwaambie kuwa shida,mateso,utasa,kukosa kazi,kukataliwa,kuachwa,kukosa ada,kukosa kodi ,ndoa kusumbua na changamoto zote mnazopitia hamtaziona tena,zitanyamaza kimya...hii ni ahadi ya MUNGU KWETU TUING'ANG'ANIE NA TUJISEMESHE MARA KWA MARA KILA KITU KIBAYA KINYAMAZE KIMYA,NA anatuasa tuendelee mbele,Tunaye Kristo Yesu ndiyo fimbo yetu.

SHALOM...MBARIKIWE
 
KUTOKA 14

13.Musa akawaambia watu ,MSIOGOPE,SIMAMENI TU..mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo;kwa maana hao wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.

14.BWANA ATAWAPIGANIA,Nanyi mtanyamaza kimya.

15.BWANA akamwaambia ,Musa mbona unanililia mimi?waambie wana wa Israel waendelee mbele.

Asante Baba kwa neno hili.

Wakati nasoma sura hii na mistari hii niliona kuwa Mungu ananiagiza kitu kwenu MAKAPUKU wapendwa wangu niwaambie kuwa shida,mateso,utasa,kukosa kazi,kukataliwa,kuachwa,kukosa ada,kukosa kodi ,ndoa kusumbua na changamoto zote mnazopitia hamtaziona tena,zitanyamaza kimya...hii ni ahadi ya MUNGU KWETU TUING'ANG'ANIE NA TUJISEMESHE MARA KWA MARA KILA KITU KIBAYA KINYAMAZE KIMYA,NA anatuasa tuendelee mbele,Tunaye Kristo Yesu ndiyo fimbo yetu.

SHALOM...MBARIKIWE
Amen
 
KUTOKA 14

13.Musa akawaambia watu ,MSIOGOPE,SIMAMENI TU..mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo;kwa maana hao wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.

14.BWANA ATAWAPIGANIA,Nanyi mtanyamaza kimya.

15.BWANA akamwaambia ,Musa mbona unanililia mimi?waambie wana wa Israel waendelee mbele.

Asante Baba kwa neno hili.

Wakati nasoma sura hii na mistari hii niliona kuwa Mungu ananiagiza kitu kwenu MAKAPUKU wapendwa wangu niwaambie kuwa shida,mateso,utasa,kukosa kazi,kukataliwa,kuachwa,kukosa ada,kukosa kodi ,ndoa kusumbua na changamoto zote mnazopitia hamtaziona tena,zitanyamaza kimya...hii ni ahadi ya MUNGU KWETU TUING'ANG'ANIE NA TUJISEMESHE MARA KWA MARA KILA KITU KIBAYA KINYAMAZE KIMYA,NA anatuasa tuendelee mbele,Tunaye Kristo Yesu ndiyo fimbo yetu.

SHALOM...MBARIKIWE
Amen, Asante nawe ubarikiwe sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom