Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Upo mpendwa mpenzi wangu mwenyewe.
Yaani wewe ukiomba wimbo nakuletea album nzima na ukiomba album nakuletea band na ukitaka band nakuletea studio nzima. Sema unataka nini mpendwa
...wanaenda zao diskoBata kavaa raizoni
Hivi nilitaka nimuulize dada shunie kuwa nyagei yuko wapiMbona mm nipo muda mwingi tu ww ndio huonekani,
Pimbi nyagei anakupa hai..
Nyagei kaenda wapi?Mbona mm nipo muda mwingi tu ww ndio huonekani,
Pimbi nyagei anakupa hai..
Tuseme tuu ukweli... Huwa kuna la kukumbuka kiukweli... Liwe zuri au baya.. Huja tuu automatically kwa kweeliAhahhah me sasa kwakweli sikukumbuki hata kama kuna mengi mazuri tumewahi fanya kama tumeamua kuachana tuachane tu kwa Amani itokee tu tukutane kwa bahati mbaya tusalimiane lakini sio nianze nikutafute nimekumiss sijui nini hakunaga hiyo
Yaani mtu akiomba game unawaza kuachana?
Hahaha...wanaenda zao disko
Yaani wanapenda kula biskuti chokoleti na kinywaji chao soda unaweza kuhisi wote ni matejandio watashindia hizo na soda wanaume wa dar ni sheeda
.....anaana anadoo...kajambila prastoo asprin matindoo...lalalalaaaaa....Unataka kuku kapanda baiskeli au anaanaa anado...
Haina shida shemela tutaonana tuUmetukimbia shemela yaan wewe ila nataka nikuone ujue
YesuuTuseme tuu ukweli... Huwa kuna la kukumbuka kiukweli... Liwe zuri au baya.. Huja tuu automatically kwa kweeli
Niambie utamu wangu
Yaani mji unaonyesha watu ni masikini kuliko sehemu nyingine lakini ukiangalia chanzo cha umaskini wao ni wakujitakia kabisaWe hukuona yale makazi yao bhana... Nyumba za maana ni za wa kuja tuu
Siku yako imeisha vizuri sanaHahaha
Yaani nimecheza mpaka nguo zimedondoka....
Aisee darisaaaallaaammmm hukooo hukooo hukooo ilikoooo....
Aisee wee mtu ahadi yako ya kunipeleka dar badooo
Umeongee point...sio kwamba husna ana kesiJamani me namuulzia shemela Shedede cku nyingi hajaonekana humu tena aliondoka na stress za talaka mwenye mawasiliano nae amtafute