Makapuku Forum

Ndo ukweli kila mtu anapenda kupendeza ila siyo kila mtu anajua kuvaa
Na uhusiano wowote kati ya uvaaji wa mtu na pesa......kujua kuvaa samtaimu ni kipaji tu au hobby
Ila najua kuignore
........
Kuna watu wana pesa na hawajui kuvaa mfano boss Wang anavaaga nguo hadi suruali inapauka makalioni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…