Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kesho anko itakuwa poa sana , wewe jipange nami najipanga maana si unajua ile buku jero kwa mjumbe imezaa, yaani kaizalisha pale nilipoenda kumwambia umesafiri ikawa buku tatu nzima yaani ukijumlisha inakosekana jero tu kufika mkoba yaani buku tano.

Vipi utakuja na ugeni wetu wa Tukuyu😀😀
Kigamboni siendiiii nenda na mgeni wa tukuyu binamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom