Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Pouwah shemela wanguShemela wa mimi, niambie
Pouwah shemela wanguShemela wa mimi, niambie
Patamu apooNgoja tuone mwisho wake
Fanya kikufurahishacho!Nilijua nikitaja Wasukuma lazima utajitokeza kutoka mafichoni
Na kweli umejitokeza
Itabidi niwaseme daily
![]()
![]()
![]()
.....
Naanzaje kutoka jamaan bila kuwasiliana na weweUshatokaaa??
Jimena za wewe mamyAsante kaka ake! Maana sio kwa ufagio huu
D hajambo kabisa shemela anakusalimia sana ukuje basi kumuonaNzuri kabisa shemela wa mimi, vip D hajambo
Baba D niwekee basiBibi kaniandaliaa
Muulize Baba D kama jana nilikunywaHaaaaahaaaa, ukiwa mtu mzima raha sana
Tutapanga na mama watoto wangu tuje kuwaonaD hajambo kabisa shemela anakusalimia sana ukuje basi kumuona
Ulikosemaa jana unaendaaNaanzaje kutoka jamaan bila kuwasiliana na wewe
NnBaba D niwekee basi
Hahahhhh shemelaTutapanga na mama watoto wangu tuje kuwaona
BinamuuuNililala namuota Michelle Obama, unataka kusema naye alikuwa ananifikiria huko aliko?
Uko sahihi make michelle wetu wa tukuyu kanipigia mapema eti hakupatiii ..kakuota lazimaNililala namuota Michelle Obama, unataka kusema naye alikuwa ananifikiria huko aliko?
Jana nilienda kwenye kikao cha familia Baba DUlikosemaa jana unaendaa
Si hivyo viazi
Unachanganya madaa ...ulisema asubh waenda wapJana nilienda kwenye kikao cha familia Baba D
Uko sahihi make michelle wetu wa tukuyu kanipigia mapema eti hakupatiii ..kakuota lazima
