Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Asubuhi nilirudi mchana Baba DUnachanganya madaa ...ulisema asubh waenda wap
Asubuhi nilirudi mchana Baba DUnachanganya madaa ...ulisema asubh waenda wap
Watoto wenu wanaitwajee msije kuja na midoriiii kwanguTutapanga na mama watoto wangu tuje kuwaona
KumbeeeAsubuhi nilirudi mchana Baba D
Sio utanii
Watoto wenu wanaitwajee msije kuja na midoriiii kwangu
shemela akikujibu niite baba dMimi ntakuwa mshamba zaidi ya wote humu ndani.hv mnakuwa na uhakika gani kama hawa mnaowaita wanawake n wanawake kweli..!!!?maana hz fake ID mh mh mh.labda kama mliwahi kukutana private jaman.msije mkawa mnasema yule wangu na huyu wangu kumbu "NYOTE NI MIDUME".teh teh teh
Vip tena shemelaHahahhhh shemela
Wewe shemela wewe![]()
![]()
shemela akikujibu niite baba d
Tarehe nzuriii hiziiiUsijipe ugonjwa wa moyo, ukisikia wangu usipeleke yako kiunoni, kwa mfano wewe ni ndugu yangu
Binamu naomba nyimbo hii ya chidinma fall in love binamu pls niwekeeUsijipe ugonjwa wa moyo, ukisikia wangu usipeleke yako kiunoni, kwa mfano wewe ni ndugu yangu
Usijipe ugonjwa wa moyo, ukisikia wangu usipeleke yako kiunoni, kwa mfano wewe ni ndugu yangu

Nimevuta picha hiyo na mama watoto na watoto ni mama watoto yupi huyo shemela lakiniVip tena shemela
Hahahhh nimefanyaje tena shemelaWewe shemela wewe
Nitag kwa jibuuNimevuta picha hiyo na mama watoto na watoto ni mama watoto yupi huyo shemela lakini
Shemela ukuje ujibu jamaan Baba D anasubilia jibu kwa hamuNitag kwa jibuu
1/Human
Binadamu amejaaliwa akili za kutambua manbo mema na mabaya pia kuyatawala mazingira na viumbe vingine ila usishangae ni mnyama mjinga na mpumbavu![]()
Waswahili husema akili nyingi huondoa maarifa pia ujanja mwingi ni ujinga !!!
Binadamu anayaharibu mazingira yake mwenyewe
Binadamu wanauana wenyewe kila kukicha
Binadamu anatengeneza silaha mfano za nyuklia ambazo humwangamiza yeye mwenyewe
Wanasiasa wanaharibu utulivu wa nchi/jamii wakidhani hayatawapata wao na familia zao
Binadamu ana upumbavu wa kila aina,baadhi ya viungo kavipa matumizi yasiyo yake
Watu kila siku JF wanasoma thread za uwepo wa akina Rainyundo wazee wa kupiga assist lakini wanaendelea kutapeliwa kizembezembe tu utafikiri hawaoni wala kusikia...wengine wapo JF kwa ajili ya kutukana watu, wengine kutafuta likes na umaarufu kwa nguvu badala ya maarifa au pengine kutafuta hela
Makanisani nako Mchungaji hata awaambie waumini wanywe sabuni ya kusafishia choo wanakunywa tu
Binadamu wana mambo ya kipuuzi na ujinga uliopitiliza
.
.
.
.
.
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Habari za leo