anamjua kweli, bora ungemwambia mwaikimba
Nakusalimia bhinamu
Huku ni Ant stress zone na Unreachable Ban.
Tunaishi kama ndugu huku heshima na Upendo vikitawala..
PIA TUNATOA ASSIST
Ha ha ha a hapo kwenye assist hapoo
Hbr ya jioni baba watoto
Cjambo baba angu hbr ya karatuMy swi uko poa
Acha bhana mbona wamesema wewe ndo utailetaa .....na kama umeipokeaa husiifungueee nakuombaaNami nakusalimia tu maana si kwa zile sifa zako nilizosikia. Vipi wameshakutumia barua?
Umenichekesha kweli leo
Huyu sasa ametisha3/Joseph Well
Tapeli huyu alizaliwa mwaka 1877 na kufariki dunia 1975
Alikuwa ni tapeli maarufu karne ya 20....kafanikisha wizi kibao ukiwepo wa USD 8 Milioni
Alikuwa akikusanya madeni pamoja na wafanyakazi wenzake kisha kuweka kitu kibindoni kidogo kidogo
Jamaa alikuwa bonge la tapeli kiasi akiwa kitaa alikuwa akibadili jina karibia kila siku mara Dr Fulani,mara sijui nini
Keshatapeli watu kibao ikiwemo kujifanya mwekezaji wa kampuni ya mafuta
......
Mtu mwepesi nae ni homa ya dengueKumzidi Mtu mwepesi ?
.....
Chezea mtaliano wewe.....2/Charles PonziTapeli huyu alizaliwa mwaka 1882 na kufariki 1949
Alikuwa ni mhamiaji/mzamiaji wa Kitaliano aliyeishi nchini Marekani na kuwa miongoni matapeli wakali wa muda wote
Usishangae umaarufu wa neno Ponzi kwenye Make Money Fast Schemes kwenye mitabdao ya kijamii....ni sababu ya huyu tapeli
Ni msomi wa Chuo Kikuu kutoka Rome ila akatumia maarifa yake kuwapiga watu assist/utapeli wa kufa mtu ....kufanya kazi Nchi kibao na kuishia kuavhishwa kazi kutokana na utapeli mfano alianza kufanya kazi mgahawani Marekani ila akaachishwa kutokana wizi/utapeli
Huyu ni tapeli wakimataifa
.........
Nzuri kabisa mama watoto wanguCjambo baba angu hbr ya karatu
Asante kwa kumi kubwa1/Frank Abagnale
Alizaliwa mwaka 1948
Alikuwa ni msanii,tapeli wa risiti(cheque) n.k
Miaka ya 1960's alifanya bad cheques katika Nchi mbalimbali yenye thamani ya USD 2.5 Milioni
Hii ni filamu inayoelezea madudu aliyoyafanya
Utapeli mwingine maarufu ni alipotengeneza "slip" fake ya akaunti ya bank na kufanikiwa kuiba USD 40,000 na fasta kuingia nazo mitini
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........