Makapuku Forum

Sijasema unaelewa uchawi Bitoz au sio Kama sijasoma Post ya Utanguliz Na sio kama NilivoQuote hapo Nilikuwa na kuuliza ww.....
 
Kila rakheri
 
Kwahiyo eneo hilo sasa hivi hakuna tena wachawi?
Upoooo...ila kipindi hicho waganga hao walitikisa,wengi walijisalimisha,kuna wazee wawili mke na mume walikutwa na majembe 1000 na zaidi ,baada ya kunywa dawa ,walipoulizwa yanini wakasema wanalimisha watu usiku ,bibi mngine akalia sana kuna kidoli mfano wa ndege (aeroplane) ilichomwa moto alilia sanaaa kuulizwa why akasema anawaogopa wenzake wakija watamuuliza maana walichanga,shilingi laki saba...alilia mno after one week tulimzika
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…