Makapuku Forum

6/Papua New Guinea
Hawa waporipori nao kwa ushirikina ni shida
Jamaa wanarogana balaa kiadi cha kuifanya serikali yao itunge sheria kali ili iwe onyo kwao lakini mchawi ni mchawi tu haachi
Mfano katika Enga village wana wake wanne walikimbia kijiji baada ya kuanza kuwindwa kama swala kutokana na tuhuma za kuwangia wanavijiji uchi usiku na mauzauza mengine kibao hivyo ikawa msala kwao
.......
 
Mmmmmh dunia kuna mambo
 
Burudani
 
Hahahaaa!
Cc mshana jr
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…