Yupo JF + Ibra
Siku zote kwenye msafara wa mamba kenge pia wapo
Kuna baadhi walidandia tu thread mwanzoni ili kupata ujiko ....wale wa ukweli urafiki wetu uliendelea sasa mwaka wa pili huu na yupo imara na wengine kufahamiana kabisa
Wapo wazee wa fursa wamepata wake/waume/wapenzi kabisa
.....
Niliwahi kuumizwa sana na Patience123 na Sumbai utafikiri ni kweli. Nilitokea kumpenda sana utafikiri ipo siku tuta...aliponipiga kibuti na kuchukuliwa na sumbai iliniuma kweli.Sana yanihalafu mwingine ukimpiga kibuti hapa anakasirika kweli wakati hapa tunaflirt tu
Mimi nitakaa karibu na Sakayo halafu nitampa lift kwenye guta langu hadi Mabibo MabwawaniYes mkuu!
Itakuwa pouwa sana
Kweli kweli au?lee na shunie.
Uzima upo kakaMzima kabisa, hofu kwako
Wapo hawajitangaziMaana kapotea kabisa,
Hapo kwenye kupata mume na mke nani hao?
Niliwahi kuumizwa sana na Patience123 na Sumbai utafikiri ni kweli. Nilitokea kumpenda sana utafikiri ipo siku tuta...aliponipiga kibuti na kuchukuliwa na sumbai iliniuma kweli.
Japo kwa sasa tu marafiki ni watu wazuri sana
Hata wewe mbona umeng'oa mkuu?Maana kapotea kabisa,
Hapo kwenye kupata mume na mke nani hao?
Ushaanza!Mimi nitakaa karibu na Sakayo halafu nitampa lift kwenye guta langu hadi Mabibo Mabwawani
.....
Hahahaha acha tuWapo hawajitangazi
We endelea kung'aa tu sharubu kama kambale
.....
Eeeh! Hiyo ni live bila chenga mkuu..Kweli kweli au?
Ndio la umuhimu hiloUzima upo kaka
Yap, wapo watu na heshima zao, naamini tuliutendea haki uzi huu as long as uko chitchatNi kweli sisikama binadamu kila mmoja ana mapungufu yake...kadri tulivyokaa pamoja ndo tulizidi kukomaa na mifarakano kupunguza
Siku hizi hata wazee wapo humu maana ujinga ujinga umepungua kwa kiasi kikubwa
. . ....
Madame s tulianza kufahamiana kabla ya makapuku kabisa, tena urafiki wa kawaida humu JFHata wewe mbona umeng'oa mkuu?
Hongera zao sanaEeeh! Hiyo ni live bila chenga mkuu..
Mwandiko unadanganya plus Ids, usiconclude kwa Id wala mwandiko, watu tunaficha mengi sana, naweza kuigiza utaahira flani humu kuwajua matahira, endapo utaingia mkenge kwa hilo, misheni done.Hahahaha jambilo si ndio huyu jamaa au
Ila mwandiko nao usikudanganye ujue, si umeona ule Uzi kule
Mkuu mradi wa kambale umefikia wapi?Wapo hawajitangazi
We endelea kung'aa tu sharubu kama kambale
.....
Cabblepots kuna siku alirudi kwa jina la Malcom lumumba, siku hizi simuoni.
Kiukweli sina mfano wa kufananisha zile siku.
Ni kweli kuna siku tulikuwa twatofautiana kwa muda lkn mwisho wa siku tulibaki WAMOJA, kf ilinifunza mengi kuanzia kuchukuliana kitabia na kukubaliana.
Tulionekana tunafanya mambo ya kijinga LAKINI nimegundua jf sasa wanaielewa kf na wengi hupita humu kimyakimya wanajifunza na KULIKE KIMOYOMOYO.
Kf imenipa marafiki wengi hadi wengine tunafanya project za maana baada ya kukutanishwa na kf.
Mimi huwa ninamsemo usemao "unaweza kuokota fedha jalalani"
Tuliitwa kila aina ya majina na kebehi eti kisa jina KAPUKU lkn leo wengi hupita humu na kujifunza, nimeshuhudia wakikiri kwa vinywa vyao.
Ni kweli hata nami natamani tukutane siku moja, I have nothing to hide hata niogope kukutana na mtu wa jf.
Cc mkongo
Shululu
Bitoz
Jimena
Sweetiepie
Lizzie
Beilly5
Manuu
Briz
Pat123
Mussoli5
Youngblood
Nawamis hawa viumbe wa kipindi kile
Si maanishi waliopo hawafai lahasha
Wakuu hapa twakumbuka mbaali sana mtuwie radhi. Tunaheshimu uwepo wenu sana
Transcend
Lee
Shunie
Sakayo
Husna
Fakalava
Bleesedhope
Mondray
Na wengine wengi