Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
T jamaan unanifanya mie mtotoHhahaaaa! Nani kasema kitandani zinachezwa kwaito?
T jamaan unanifanya mie mtotoHhahaaaa! Nani kasema kitandani zinachezwa kwaito?
Nikuletea baltika..Kho Kho Kho Kho

Usipende ugomvi bhanaShunie leo nitakutubua ujue..
Tamaduni zao kama sio wa sayariHili ndio taifa ambalo sijawahi kulielewa

AkuuuUnanirithisha vingiii ujue
Em Muulize tuuuHhahaaaa! Nani kasema kitandani zinachezwa kwaito?
JamaanAkuuu
Mie leo na sinzia ujue
nitabaki na nani mie leo
ahahahhahEm Muulize tuuu
Hiyo baltika ni nini tena... Ni juice au... Naonaga makopo tuuNikuletea baltika..![]()
Redbull anakunywaNikuletea baltika..![]()
HahahaJamaannitabaki na nani mie leo
Em mwambie tuuRedbull anakunywa
Bwana nakesha basi peke yangu nitazunguka majukwaa yote nitakapoishia hapo hapoHahaha
Utakomaa
Hiyo avatar yako inanikumbusha maandishi kwenye T-shirt "a friend with weed is a friend indeed" samahani mkuu nilisahau salamu kwema?Ni mkubwa bhana anajua kabisa kuongea na zaid anajua leo ni sikukuu
Hahahh naona anakuletea mashkolo mageni baltika ni mbayaa ina taste ya appleEm mwambie tuu
Ananizingua afu sasa niko nakunywa maji ya vuguvugu..Usipende ugomvi bhana
Poa PoaBwana nakesha basi peke yangu nitazunguka majukwaa yote nitakapoishia hapo hapo