Hii serikali kiboko haitaki kupigwa
Kila anayewapinga kwao anakiwa adui yaani wanataka tu ndiooooooo
TLS waliitishia lakini ipo inadunda
NDO's nazo wanazotishia
Wafanyakazi wanatishiwa
Wafanyabiashara wanatishiwa
Wanasiasa wanatishiwa
Wasanii wanatishiwa
Sasa sijui wakati wa Uchaguzi watapogiwa kura na mbuzi? au wanategemea wakulima wasio na elimu wala kujua yanayoendelea nchini
.
.
.
Ahsante kwa magazeti Eid Mubarak
......