Makapuku Forum

Hii serikali kiboko haitaki kupigwa
Kila anayewapinga kwao anakiwa adui yaani wanataka tu ndiooooooo
TLS waliitishia lakini ipo inadunda
NDO's nazo wanazotishia
Wafanyakazi wanatishiwa
Wafanyabiashara wanatishiwa
Wanasiasa wanatishiwa
Wasanii wanatishiwa

Sasa sijui wakati wa Uchaguzi watapogiwa kura na mbuzi? au wanategemea wakulima wasio na elimu wala kujua yanayoendelea nchini
.
.
.
Ahsante kwa magazeti
Eid Mubarak
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…