Makapuku Forum


Asante kwa sala BH
Usiku mwema kwako. Njozi njema
 
Amen, Asante mama mchungaji kwa neno la usiku
 
binamu jamaan pedeshee itabidi uongee nae wewe sasa binamu akubali si unamjua mjomba ako kichwa chake bh hana shida nilishamwambia nahitaji kuonana nae inabidi tupange siku binamu kweli ujue
 
binamu jamaan pedeshee itabidi uongee nae wewe sasa binamu akubali si unamjua mjomba ako kichwa chake bh hana shida nilishamwambia nahitaji kuonana nae inabidi tupange siku binamu kweli ujue


Ha hahahhaha, nitaongea naye. Mjomba wangu tunaelewana sana (kwenye mambo ya msingi kama mikutano nk) atakubali. Serious hata mimi nitapanga siku tukutan japo kunywa kahawa na kashata
 
Ha hahahhaha, nitaongea naye. Mjomba wangu tunaelewana sana (kwenye mambo ya msingi kama mikutano nk) atakubali. Serious hata mimi nitapanga siku tukutan japo kunywa kahawa na kashata
Binamu natamani ifike leo hii siku jamaan
sema bh yupo kigamboni sijui inabidi tumfate huko tukakutane nae mitaa ya huko si unajua kigamboni kumetulia sehemu nyingi beach nyingi

Binamu jitahidi basi uongee na mjomba ako akubali jamaani
 
Binamu natamani ifike leo hii siku jamaan
sema bh yupo kigamboni sijui inabidi tumfate huko tukakutane nae mitaa ya huko si unajua kigamboni kumetulia sehemu nyingi beach nyingi

Binamu jitahidi basi uongee na mjomba ako akubali jamaani


Kigamboni mbona karibu kabisa, safari ya siku moja tu nimefika! Tunaenda Club kakara au Kishiwani au Mjimwema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…