Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Pole sana.Marhabaaa mwanangu, dawa mmepata? vidole na macho yanauma. Nimechoka mimi, nimechoka mimi nimechoka sana ndiyo maana naomba wanangu/wajukuu mnitafutie mbadala wa JF. Mod ila msinipe ban sababu nitajinyonga. Niache ila nitafutie dawa labda umeme ukatwe kila baada ya masaa mawili esp. wakati huu wa mvua utaenda wapi nasisi wazee tunasubiri kabaridi na kamoto pembeni.
Hilo ndiyo jibu.By the way ten commandments za kapuku forum ni zipi? Unaweza toa lolote la moyoni au? Soon hii forum itahamishiwa daily news ndo hapo mtatafutwa na T what? yule aliyepumzishwa?
Kasome post # 3By the way ten commandments za kapuku forum ni zipi? Unaweza toa lolote la moyoni au? Soon hii forum itahamishiwa daily news ndo hapo mtatafutwa na T what? yule aliyepumzishwa?
Huko ndo wapi na nitafika saa ngapi? akha nitoholee mie aku.Kasome post # 3
.........,..........
Actually kuchangishana ni hatua kubwa na hatari, mipango kwanza inayoelewekaSiafiki kuchangishana pesa
Tuungane kubuni kitu mtaji ni akili zetu tu ...ukianzisha kikundi ukienda sehemu zinazosaidia vijana unapata msaada/mkopo
Nishajifunza sehemu
...............
Kweli,nadhani tukifikia conclusion ya kipi cha kufanya tutajua tufanye nini.Actually kuchangishana ni hatua kubwa na hatari, mipango kwanza inayoeleweka
Bibi una mambo!!!Kumbe nilikuwa sawa. Mmefika majumbani, baa, nyumba ndogo, kwenu, kwa baba na mama ndo mnaanza kuopen. Nitakuwa nawasubiri mpaka saa kumi na mbili na nusu kila siku makapuku wote mje.
Mjini wajanja wengiActually kuchangishana ni hatua kubwa na hatari, mipango kwanza inayoeleweka
Nakupendaga bureIssue ya msingi ni kuangalia idea Kwanza then ndio tuje kwenye hizo issue za pesa ila huko kwa PESA ndio iwe issue ya mwsho..
What I believe mtaji ni=70% idea+30%pesa
Nakubaliana na wewe my sweet youngblood usisahau kuona hii kutoka kwa shemeji yako..Issue ya msingi ni kuangalia idea Kwanza then ndio tuje kwenye hizo issue za pesa ila huko kwa PESA ndio iwe issue ya mwsho..
What I believe mtaji ni=70% idea+30%pesa
Mpenzi, umepata mpenzi mwingine youngblood?Hi hny..how r u duin' na hii baridi?
shemeji nimekuelewaIssue ya msingi ni kuangalia idea Kwanza then ndio tuje kwenye hizo issue za pesa ila huko kwa PESA ndio iwe issue ya mwsho..
What I believe mtaji ni=70% idea+30%pesa
Kuachwa kubaya sana braza.Naona unamwita mzee E akupe za uso
Asante mpenzi kwa kuliona hilo, ntatoa mtu jino.Sooner or later we na bwanangu mtagawana majengo ya serikali..We utaenda muhimbili ye segerea..WE subiri..
Hivi huchoki kmchokonoa
Nimeliona hilo
Waendelee na kupiga story wanazopenda .. usiwalazimisheHahaaaa.. Mmeanzisha Jambo halafu mmekimbia
Manazingua nyie
Nimenuna