Makapuku Forum

Asante sana Obe kwa music
bora kabisa
 
Yaani huyu nilipomwambia nakaa Mtwara basi yeye nanchingwea kuwa karibu na msumbiji basi akajiona mreno kabisa, ana yule kaka yake anajiita figo. haq hahahahahh

Imerudishwa kwa ushawishi mkubwa sana, niliahidi kumnunulia chachandu nyingine
Daaaah kwa chachanduu apoo umemfikishaaaaa...

Alafu mama ashura simuelewiiii mara etii hujatuma sijui nn
 
Kaandika Bitoz na ninaongezea bila ruhusa (nimeacknowledge though)

Muhimu malengo yetu yametimia (na kutimia kwake hakutufanyi tukalewa sifa, Toyoda alipotengeneza gari aliendeleza ujuzi hadi leo tuna Toyota)

1/Wengi tumekuwa marafiki hapahapa pia hadi nje ya JF(wengine hadi wamekuwa wapenzi.....wengine kusaidiana hadi kwenye shida na raha) --- na bado tunaendelea kuwa karibu

2/Tunajifunza mengi humu kupitia post mbalimbali haswa segment hivyo tumeongeza maarifa(wapo pia wanaJf kibao tu wanaitegemea hii thread kupata mawili matatu hadi wazee wanaingia kufuatilia segment maana hawakutani na matusi wala ujingaujinga ), ujinga ujinga na name calling ni ngumu kuukwepa humu, Makapuku ni bahari Majahazi yapo na boat mwendo kasi zipo

Hayo ndo malengo yetu makuu na tunayatimiza
God bless Makapuku

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…