BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
I see!DID YOU KNOW ?![]()
Its nice to honour
Kumbe? Mmh
Asante kwa maarifa haya4/Dolphin![]()
![]()
Jana niliwazungumzia pomboo kwamba meno yao ni kama tree rings kiasi kwamba unaweza kuyavunja na wataalamu hupendelea kuyatumia kugundua umri wao
Pomboo pia wana uwezo mkubwa wa kusikia
Kusikia kati ya 75 Hz hadi 150 KHz
........
Ok6/Dog
Anafahamika kwa uwezo wake wa kunusa pia kihimili kukaa muda mrefu bila kula![]()
Anatumika zaidi kwaajili ya ulinzi pia kama pambo....anajua kuishi na watu
Ana uwezo wa kumgundua boss wake kwa kusikiliza kishindo mguu/hatua anazotembea
Uwezo wake wa kusikia ni 45 Hz hadi 64 KHz
......
Nadhani anatumika vibaya kwenye nguvu za giza na watu wanaojaribu kushindana na nguvuvza Mungu7/Owl![]()
![]()
Ana macho ya kuvutia
Bundi hapendwi kabisa na wanadamu huusishwa na nuksi/mkosi ila kwangu mimi namchukulia kawaida tu siamini masuala ya ushirikina....km kuna mtu anajua kuroga aroge nishindwe kumalizia mada tuone
Huyu uwezo wake wa kusikia ni mzuri
Anasikia kati ya 200 Hz hadi 12 Khz
......
Salama za uzima karibuMambo vipi wadau?
Ok9/Horse
Farasi masikio yake tu yamekaa juujuu kama antenna na huweza kuyazungusha kwenye uelekeo wa "umbea"![]()
Ana uwezo mkubwa wa kusikia sauti kuliko kuona
Uwezo wao wa kusikia ni kati ya 55Hz hadi 33 KHz
.......
Siku zote mbona tunataniana kawaida tu na hakuna kupanicSijafurahia hilo neno uliloniita. Naona u-star wa hapa Makapuku umeanza kukupanda kichwani!
Mama Mchungaji. Unacheka badala ya kukemea?
Potezea! Tabia yako ya kitoto ya kuwasha moto halafu ukianza kufukuta unatimua mbio na kujifanya mtakatifu kuna siku itakutokea puani! Hata matani yana kikomo chake. Unaniita muhuni unanijua?Siku zote mbona tunataniana kawaida tu
Sorry km umemind
Maana siku hazifanani
........
HaswaaaaMenooo yoteee injees
AsanteTOP TEN
Km nilivyowaambiaga siku hizi jioni/usiku huwa nakuwa bize hivyo nawahi kushusha mzigo kisha naendelea na mengine maana hata mtu akiingia jioni/usiku atazikuta tu
Leo tuangalie wanyama kumi "wambeya" yaani wenye uwezo mkubwa wa kusikia
Mara nyingine # zitaweza kuchanganya hivyo mtu aangalie kilichoandikwa pamoja na kipimo cha sauti
Mawimbi ya sauti hupimwa katika hertz
.
.Karibuni
........
.