Makapuku Forum

4/Dolphin
Jana niliwazungumzia pomboo kwamba meno yao ni kama tree rings kiasi kwamba unaweza kuyavunja na wataalamu hupendelea kuyatumia kugundua umri wao
Pomboo pia wana uwezo mkubwa wa kusikia
Kusikia kati ya 75 Hz hadi 150 KHz
........
 
Nadhani anatumika vibaya kwenye nguvu za giza na watu wanaojaribu kushindana na nguvuvza Mungu
 
3/Bat
Popo ni ndege au ni mnyama ?....Tutabishana hadi kesho pengine mwaka mzima
Huyu bwana ananyonyrsha ila anaruka/paa angani kama kawa
Inasemekana mchana hawaoni kabisa ila Usiku wanaona bila chenga
Anasikia kwa kiwango cha kuzidi hata 210 KHz
......
 
Asante
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…