Makapuku Forum

Makapuku Forum

mimi apa baba d kweli
e5210fdc69557f032c75d79a5e5f6baf.jpg

......
 
AYUBU 11

17.Na maisha yako yatakuwa meupe,kuliko adhuhuri;Lijapokuwa ni giza litakuwa kama alfajiri.

18.Nawe utakuwa salama kwasababu kuna matumaini.Naam utatafuta-tafuta kando yako ,na kupumzika katika salama

19.Tena utalala ,wala hapana atakayekutia hofu;Naam wengi watakutafuta uso wako.

MALAIKA WALINZI WAWEKE VITUO MAJUMBANI MWENU NA WAZUNGUKE VITANDA VYENU DAMU YA YESU IWAFUNIKE USIKU MWEMA MBARIKIWE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom