Makapuku Forum

Na waingereza mpaka leo hii mechi huwa inawaumiza sana moyoni
 
HBD John dillinger
 
1941 - Jeshi la Nazi la Ujerumani laivamia Urusi katika kile kilichojulikana kama Operesheni Barbarossa.
Ilikuwa ni wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia
Lengo kuu Ilikuwa ni kuiteka conquer sehemu ya Magharibi ya Umoja wa Soviet ili kupata watumwa wa kuwatumia vitani,kuchukua rasilimali za mafuta pia kilimo(mazao}
Ikumbukwe wakati wa vita chakula huadimika
........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…