Nipo poa dear nakumis tuAhsante sana , vp upo poa mamy
II bivin codino .... (Divine ponytail) utakumbukwa4. Roberto Baggio ( Brescia #10 )
Straika huyu mahiri uwepo wake klabuni Brescia, ulisaidia timu hiyo kunusurika kushuka daraja mara tatu, magoli 45 katika mechi 95 za ligi kuu sio haba. Toka alipoondoka klabuni hapo mwaka 2004 hakuna mchezaji mwingine aliyevaa jezi hiyo.
Nakumiss pia,nitajitahidi niwe naonekana japo mara chache chacheNipo poa dear nakumis tu
I see,pumzika kwa amani bibi.Tumuombe Mungu atupe maisha marefuu,afya njema na amani...Mungu anaweza yote10/Margaret Ann NeveBibi huyu Alizaliwa mnamo mwaka 1792
Alikuwa ndiye mwanamke mzee zaidi duniani hadi kipindi alipofariki
Umri wake ulithibitika pia kitaalamu kwa kutumia Medical technology
Huyu bibi alijaaliwa kuishi karne tatu yaani karne ya 18,19 na 20 na ndiye binadamu pekee aliyekuwa na kumbukumbu safi kabisa za mambo yaliyojiri karne ya 18,19 & 20
Alifariki 1903 akiwa na umri wa miaka 110 na siku 321
Nimemweka kutokana na sababu za hapo juu(kuishi karne 3)
.......
Karibu sana mummyNakumiss pia,nitajitahidi niwe naonekana japo mara chache chache
Ahsante sanaKaribu sana mummy
RIP DANI Jarque...nimependa huyu mfungaji alivyomuweka rohoni,nadhani alikua role model wake na kuamini ushindi kila akimkumbuka3. Dani Jarque ( Espanyol #21 )
Beki wa zamani wa Espanyol alifariki mwaka 2009 kwa ugonjwa wa moyo, hiyo ni baada ya mwezi mmoja tu kukabidhiwa unahodha wa timu hiyo.Kutokana na mchango wake klabuni, jezi yake namba 21 ilistaafishwa kama kumbukumbu kwa vizazi vijao.
Haishangazi, Andres Iniesta alipofunga goli la ushindi mwaka 2010 katika Fainali ya Kombe la Dunia, alivua jezi ilyoandikwa " Dani Jarque Siempre Con Nosotros " ikiwa na maana " Dani Jarque always with us "
Kweli mkuu Roma lazima hiyo*** Extra Time ***
- Kuna dalili zote Klabu ya As Roma itastaafisha jezi namba 10 iliyovaliwa na mkongwe Fransisco Totti
- Klabu ya Soka ya Simba nayo imestaafisha jezi namba 30 iliyokuwa inavaliwa na Kiungo Marehemu Mutesa Mafisango.
Tumalizie na namba 1
Tunaompinga Pele tunasababu za kutosha, ikiwemo ya kutocheza ulaya kwenye upinzani zaidi matokeo yake alijikita zaidi Amerika.Mzee mwenye mpira wake mpaka sasa .....japo wengi wanampinga kwa kumlinganisha na vijana wa kileo ...japo wanadai alaikuwa anafunga za mchanganiii lakin zama zile mpaka anastaafuyanamfaa
Pamoja mkuu!Mdau na mimi nashusha mavitu mapema maana ratiba yangu itanibana baadaye hivyo hakuna tatizo segment zikiingiliana ilimradi tu zinaeleweka
Hivyo nashusha segment zangu mbili zote maana baadaye haitawezekana
........
Walimdunga sumu bila shaka
Asante Sahara
Inatokea mara chache sana katika maisha ya Mwanadamu.