Kwa msaada sasa hivi hapo Muhimbili ipo project kubwa inaendelea ya vipimo ,chanjo na tiba ...kwa malipo cash na kadi za bima zinatumika..ni vizuri kwenda
*Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupeleke moja kwa moja had marekani" nikazima TV kwa haraka nikaenda kuvaa viatu. Hadi sasa bado nimekaa hapa seblen