Leo mnalala mapemaNawatakieni usiku mwema makapuku wote
Duuuu10/Brahim Takioullah
Ni raia wa Morocco aliyezaliwa mwaka 1982
Huyu jamaa anashikilia rekodi ya dunia kwenye Guinness Book of World Records ya mtu mwenye miguu mirefu zaidi duniani anayeishi.....pia ndiye mtu wa pili wa muda wote mwenye miguu mikubwa zaidi kuwahi kutokea duniani(nazungumzia makanyagio) miguu yake ina urefu wa inchi 15 yaani kiatu kinatakiwa kiwe hivyo
Huyu jamaa sababu ya urefu wake ni uvimbe(tumor) ambao umeathiri tezi(gland) na kumfanya awe ngongoti
Ana urefu wa Futi 8 na inchi 1
...........
Jilipo ulimkafuMbombo jilipo
Afande Vaino alitisha sana!4/Vaino Myllyrinne
Alizaliwa mwaka 1909 huko Finland na kufariki 1963
Alikuwa ni mwanajeshi wa Jeshi la Finland na hadi leo inaamikikwa ndiye mwanajeshi mrefu zaidi kuwahi kuwepo duniani
Alikuwa na urefu wa futi 8 na inchi 3.4
.....
Bilion 25 wewe huuzi mtoto?inaumaa huyo weiter !!! Yaani kauza mtoto!!! Loh!!!
IndimwumiJilipo ulimkafu
Yeye kuruta...wewe KapteniAfande Vaino alitisha sana!
Teh teh tehYeye kuruta...wewe Kapteni
Sijui saluti anakupigiaje
.....
Pamoja mkuu, usiku mwema!1/Robert WadlowHuyu ndo ngongoti wa muda wote duniani
Alizaliwa 1918 huko Illnois na kufariki dunia mwaka 1940
Urefu wake ulitokana na pituitary gland na hivyo kuzalisha kiasi kikubwa cha homoni na kurefuka maisha yaje yote
Alifariki dunia hospitalini Michigan wakati akifanyiwa upasuaji ambapo urefu wake ulichangia kufeli kwa blood transfusions
Alikuwa na urefu wa futi 8 na inchi 11
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Sawa mdauPamoja mkuu, usiku mwema!
Jamaa anavimba kichwa kila kukicha, anajibishana na watu kisa ana wafuasi wengi wanaofatilia stori zake JF hivyo wanakuwa wanamtetea.
Nawe pia bitoz1/Robert WadlowHuyu ndo ngongoti wa muda wote duniani
Alizaliwa 1918 huko Illnois na kufariki dunia mwaka 1940
Urefu wake ulitokana na pituitary gland na hivyo kuzalisha kiasi kikubwa cha homoni na kurefuka maisha yaje yote
Alifariki dunia hospitalini Michigan wakati akifanyiwa upasuaji ambapo urefu wake ulichangia kufeli kwa blood transfusions
Alikuwa na urefu wa futi 8 na inchi 11
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Shukrani mkuu1/Robert WadlowHuyu ndo ngongoti wa muda wote duniani
Alizaliwa 1918 huko Illnois na kufariki dunia mwaka 1940
Urefu wake ulitokana na pituitary gland na hivyo kuzalisha kiasi kikubwa cha homoni na kurefuka maisha yaje yote
Alifariki dunia hospitalini Michigan wakati akifanyiwa upasuaji ambapo urefu wake ulichangia kufeli kwa blood transfusions
Alikuwa na urefu wa futi 8 na inchi 11
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Na kwako piaNawatakieni usiku mwema makapuku wote
Teknolojia iko juu6/Sultan KosenAkiwa na mtu mfupi zaidi duniani
Huyu ni raia wa Uturuki aliyezaliwa mwaka 1982
Ana uvimbe(tumor) ambao unamsababishia arefuke kuliko kawaida
Ndiye mtu mrefu zaidi aliye hao ...Alikuwa na urefu wa kawaida hadi alipofikisha miaka 10
Mwaka 2006 madaktari walijaribu kuuondoa uvimbe ili asiendelee kurefuka lakini ikashindikana
Mwaka 2012 madaktari wa Virginia waligundua uvimbe kichwani umezidi kukua lakini kutokana urefu wake wakashindwa kumfanyia upasuaji na hivyo kupelekwa Sweden ambalo ilitumika teknolojia ya hali ya juu na kufanikiwa na hivyo kuwa nwisho Wa kurefuka kwake
Ana urefu wa futi 6 na inchi 3
.....
Na kwako piaUsiku mwema aisee