Binamu yako mimi ndio nilimuokoa kipindi hicho kaja kuuza almasi, akataka kutapeliwa, nikamsaidia, alikuwa ashachukua pk za blue eti ndio almasi yake, usinge muona mjini, wewe muulize tu
Nina swaga gani mimi mbali na kujivunia Kolomije kwetu? Mimi hata nitajirike niwe bilionea nitabakia hivi hivi tu. Kama huwa naonekana nina swaga basi mnisamehe na kunivumilia...
Binamu yako mimi ndio nilimuokoa kipindi hicho kaja kuuza almasi, akataka kutapeliwa, nikamsaidia, alikuwa ashachukua pk za blue eti ndio almasi yake, usinge muona mjini, wewe muulize tu
kuhusu mama mchuchu wananisingizia jana simu yangu kutwa nzima alikua nayo Baba D kwahiyo kama kuna vitu vimesemwa ni Baba D ndio kaaandika binamu sio mimi hivi naanzaje binamu yangu ninavyokupenda uwe na furaha