Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Thanks mkuuMemories remind us that nothing last forever, you can be happy today and sad tomorrow, time is precious and should not be wasted, enjoy life and remember don't count your days, make your days count.
Accept the past, manage the present and work hard towards the future.
Msamiati wa kujitolea kwa wengi sasa hv ni mgumu kwakuwa wengi hawakujengewa uwezo,maana yake unapoenda unakua tayari kufanya kazi utakazoelekezwa na mwajiri na kufuata taratibu na sheria za mahali hapo bila kupepesa macho ,kufika muda uliopangiwa,kukaa kazini muda uliopangiwa na kufanya kazi ulizopangiwa kuna baadhi ya ofisi nyingine zina sera ya kujitolea angalau zina unafuu..ni muhimu kabla ya kwenda kujitolea kutafakari na kujiandaa na mazingira yoyote utakayoyakuta....Unaujua msamiati mpya katika dunia ya ajira unaoitwa 'kujitolea' /volunteer (au wengine huita internship) . Hapo ulipo una nafasi ya kwenda kwenye ofisi yoyote ya mambo ya afya (duka, zahanati, hospitali nk) onana na mkuu wake umweleze unahitaji kujitolea kufanya kazi. Usiseme unahitaji kulipwa hasa kwa kuwa unalalamika hujapata ajira (ajira=ujira)
Hongera sana Pierre Mendes1954 - Pierre Mendes France anakuwa Waziri Mkuu wa Ufaransa.
Pole kwa Marekani ndugu jamaa na marafiki wapumzike kwa amani marehemu wote1953 - Ndege ya Kijeshi ya Marekani C-124 yapata ajali na kuua watu 129 huko Japan.
Hongera Amelia Earhart1928 - Amelia Earhart anakuwa mwanamke wa kwanza kuruka na ndege uelekeo wa Bahari ya Atlantic.
Hongera sanaLeo Katika Historia:
1908 - Chuo Kikuu cha Philippines chaanzishwa.
HakikaNi hatari sana
Salama mzima barikiwaSalama wakuu