Makapuku Forum

Makapuku Forum

Usinichekeshe bwana. Eti zigo la ukweli na ngozi fulani hivi. Sisi akina ngosha tunalaumiwa sana kuwa eti tunapenda ngozi nyeupe. Mimi sijali rangi wala kabila ali mradi tu mtu tuelewane kimitazamo. Kuhusu ng'ombe hilo halina tatizo. Ninao wa maziwa, wa kawaida na madume ya kulimia huko kijijini. Baba mkwe atakuja achague mwenyewe anachotaka. Baba Paroko basi na aachie mibaraka yake ili iwe!
Ujumbe unafanyiwa kazi na utapata mrejesho mapema iwezekanavyo ngosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom