Makapuku Forum

Makapuku Forum

  • Ili waje wanasoma uchangiaji wako. Ukiwa na muelekeo wao watakuja tu ila mimi huwa napost vitu general or politics or vinavyohusu maisha in general mtu hawezi kuja kama hujapost upupu unless wanataka msaada. Nimejipatia watoto wa ihari JF na ninawapenda sana wapo kusini mwa TZ, wapo Dar na wengine sijuhi hata walipo sababu we just talk about life. Kuna binti yangu ni mjasiria mali wa asali toka Mpanda huyo ni kama mwanangu sababu tumeonana, ameniintroduce kwa mme wake na mjukuu halafu we are like a family. Thanks to JF.
Hongera sana mama.
Tafadhali naomba uniruhusu kuanzia kesho nikupe shikamoo yangu.
Sikujua kama una wajukuu.

Aiseee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom