Makapuku Forum

Hii iko hivi;

Jamaa ni mtumiaji wa vilevi ( hasa sigara) kama picha ilivyo.

Mtumiaji wa kilevi anatumia bila kujua athari ambazo zinampata yeye.

Nje ya mwili anaona moshi na anahisi yuko salama ila ndani ya mwili kuna bomu linajitengeneza..

Haina tofauti na zile baruti za kutumia tambi/ yaani explosion inakuwa ipo mahali theni source of fire inatokea mbali...

Hiki ndicho kinachoendele hapa..

I stand to be corrected
 
Wenda it's true


Ila nahisi hapo kuna fumbo kubwa tu
 
Shingo yake inaonekana ndefu kweli inaonyesha amekondeana sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…