Asante kwa maombi na ile kusema tu unakuja yaani tayari viungo vimechangamka, yaani ninajihisi kupona na nimepoteza nguvu zangu kwenda kwa dokta usiku, ilhali wewe maneno yako tu tiba tosha
...acha zako, mimi sijapona sema nimekataa wewe usiambatane na BH kuja kuniona. Na nimewatangazia ndugu zangu kuwa umeniroga, sasa ni juu yako kuongozana naye au kukumbana na ndugu zangu wenye hasira kali za mfungo
...acha zako, mimi sijapona sema nimekataa wewe usiambatane na BH kuja kuniona. Na nimewatangazia ndugu zangu kuwa umeniroga, sasa ni juu yako kuongozana naye au kukumbana na ndugu zangu wenye hasira kali za mfungo