Makapuku Forum

Makapuku Forum

Inachukiwa basi tu maana hata mitaani watu huchukiana bila sababu
Thread inaanzishia nyuzi za kuiponda sababu tu ina mambo matamu
Chukua mfano kuna thread nyingi za hovyo mfano hii ya leo usitegemee kuona watu wakiandika thread kuiponda km ilivyokuwa kwa Wakongwe Forum ambayo hakuna aliyewahi kuisema japo ilikuwa thread ya hovyo kabisa
.........
Ok sieee twalisongeshaaaa yaaaeeeeh
 
Nyie jamaa mmenifanya nicheke
KF ilianza maalumu kwa ajili ya story ila ghafla ikageuka movement na watu kujazana siku ya kwanza tu replies lilikuwa 10+ kisha akaanza kusepa mmojammoja maana wengine walikuwa kinafiki na zugazuga tu pengine kufuata like za washambawashamba wachache
Baada ya hapo yaani km mwezi mmoja hivi tukaigeuza thread ya kijanja kwa kuanzisha segment hapo ndo pekee palipoiokoa thread kufa au pengine kupoteza mvuto
Now KF ni km Chitchat ya wenye Phd kiasi cha kuwavutia karibu wanaJF wote kuifuatilia (subscribe) na kujifunza mambo mbalimbali japo wanaamua kupita kimyakimya na kutuanzishia mathread ya kutuponda....

Thread haimkatazi mtu yoyote kuwepo humu hata Ngedere ila baadhi ya wakongwe wanajishtukia shtukia tu
........
Balozi

I got yo word brooh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom